|
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Contacts | VET Board | Zonal Boards| About VETA | History Pichani juu ni Mhe. Dr. Shukuru J. Kawambwa Waziri wa Elimu and Mafunzo ya Ufundi alipotemebelea vyuo vya VETA vilivyojengwa kwa msaada na mkopo wenye masharti nafuu kutoka serikali ya Korea Kusini. Mh. Waziri akifuatana na Mkurugenzi wa Idara ya Ufundi Ndugu Kazuva, Mkurugenzi Mkuu wa VETA Eng. Z. S. Moshi walitembelea Chuo kilichopo Kipawa, jijini Dar es Salaam na kilichopo eneo la Kongowe mkoani Pwani. Mh. Waziri alioneshwa karakana, madarasa, mabweni pamoja na mitambo ya kisasa itakayotumika kufundishia vijana wetu ili wapate kuendana na soko la ajira; linalohitaji technolojia ya kisasa katika kila nyanja.
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
TRAINING DEVELOPMENTS |
OTHER ISSUES | LABOUR MARKET MONITORING | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| CBET Approach | Entrepreneurship Skills |
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| Occupational Unit Standards | Gender | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| Training and Learning Guides | Child Labour | International Support | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| INTEP Programme | Trade Advisory Committees | Informal Sector | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
[ FEEDBACK ] Last Updated: 09-May-2012 |
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| Copyright © 2006 Vocational Education and Training Authority . All rights reserved Designed and published by VETA | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||