The United Republic of Tanzania
Ministry of Education Science and Technology
Vocational Education and Training Authority
Skilled Labour Force The Future of Tanzania
Posted on: Saturday, 09 May 2026
UFUNDI STADI WATAWALA MJADALA WA BAJETI WA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA 2026/2027.
Suala la Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi limepewa umuhimu na mtazamo wa kipekee wakati wa mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia 2026/2027 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzan...
Posted on: Friday, 08 May 2026
PROF. MKENDA AAINISHA VIPAUMBELE VITANO VYA WIZARA YAKE MWAKA 2026/2027
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, leo, tarehe 7 Mei 2026 amewasilisha Bungeni, Mpango na Bajeti wa Wizara hiyo huku akiainisha vipaumbele vitano vya mwaka wa fedha 2026/2027.
Posted on: Tuesday, 05 May 2026
Wakufunzi 25 VETA waenda Finland kujifunza teknolojia ya madini
Wakufunzi 25 wa vyuo vya VETA nchini wanatarajia kuondoka kwenda nchini Finland kujifunza ujuzi wa teknolojia zinazohitajika katika uchimbaji na ukuzaji mnyororo wa thamani wa madini, kupitia mradi wa Mafunzo ya Ufundi Stadi kuelekea Upat...
Posted on: Tuesday, 05 May 2026
VETA na Airtel Tanzania wasaini makubaliano ya kuimrisha mafunzo ya ufundi stadi kidigitali kwa vijana nchini
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA imesaini makubaliano na kampuni ya mtandao wa simu wa AitelTanzania kwa lengo la kuimarisha mafunzo ya ufundi satdi kwa njia za kidigiatali (VS...
Posted on: Tuesday, 28 April 2026
Mafundi wahamasishwa kurasimisha ujuzi wao
Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Dar es Salaam, Wilhard Soko amewaomba viongozi wa Chama cha Mafundi kuhamasisha mafundi kurasimisha ujuzi wao ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali za ajira, zabuni na mikopo ya maendeleo.
Posted on: Saturday, 25 April 2026
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, ameitaka Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kuendelea kuimarisha mikakati ya kushirikiana na viwanda ili kuibua fursa zaidi za ajira na ujuzi kwa vijana nchini.
Mhe. Hafidh ametoa wito huo tarehe 23 Aprili, 2026 waka...
Posted on: Monday, 22 September 2025
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore, amewataka Wakuu wa Vyuo vya VETA kote nchini kufanya kazi kimkakati ili kuleta matokeo chanya katika ukuzaji wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini.
Akifunga kikao cha pili cha wakuu wa vyuo hivyo kilichof...
Posted on: Monday, 22 September 2025
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imewakutanisha wadau wa sekta ya utalii nchini kwa ajili ya kupitia na kutoa maoni ya uboreshaji wa mitaala ya kozi za Uongozaji Watalii na Uendeshaji wa Usafiri na Utalii kwa ngazi ya Stashahada.
Kikao hicho kilifanyika tarehe 20 Septemba 2025 katika...
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
WANAWAKE 664 DODOMA WANUFAIKA NA MAFUNZO KUPITIA USHIRIKIANO WA VETA NA WANAWAKE NA SAMIA
Jumla ya wanawake 664 wamenufaika na mafunzo ya ufundi stadi kwenye chuo cha VETA Dodoma katika kipindi cha Machi hadi Agosti 2025, kupitia mpango wa ushirikiano kati ya VETA na taasisi ya Wanawake na Samia.
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
VETA Yasaini Makubaliano na RES Inspection & Engineering Services Ltd Kutoa Mafunzo maalum yanayotambulika Kimataifa ya Uundaji na Uungaji Vyuma na Ukaguzi
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeingia makubaliano rasmi na kampuni ya RES Inspection & Engineering Services Ltd kwa lengo...