The United Republic of Tanzania
Ministry of Education Science and Technology
Vocational Education and Training Authority
Skilled Labour Force The Future of Tanzania
Posted on: Monday, 22 September 2025
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore, amewataka Wakuu wa Vyuo vya VETA kote nchini kufanya kazi kimkakati ili kuleta matokeo chanya katika ukuzaji wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini.
Akifunga kikao cha pili cha wakuu wa vyuo hivyo kilichof...
Posted on: Monday, 22 September 2025
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imewakutanisha wadau wa sekta ya utalii nchini kwa ajili ya kupitia na kutoa maoni ya uboreshaji wa mitaala ya kozi za Uongozaji Watalii na Uendeshaji wa Usafiri na Utalii kwa ngazi ya Stashahada.
Kikao hicho kilifanyika tarehe 20 Septemba 2025 katika...
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
WANAWAKE 664 DODOMA WANUFAIKA NA MAFUNZO KUPITIA USHIRIKIANO WA VETA NA WANAWAKE NA SAMIA
Jumla ya wanawake 664 wamenufaika na mafunzo ya ufundi stadi kwenye chuo cha VETA Dodoma katika kipindi cha Machi hadi Agosti 2025, kupitia mpango wa ushirikiano kati ya VETA na taasisi ya Wanawake na Samia.
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
VETA Yasaini Makubaliano na RES Inspection & Engineering Services Ltd Kutoa Mafunzo maalum yanayotambulika Kimataifa ya Uundaji na Uungaji Vyuma na Ukaguzi
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeingia makubaliano rasmi na kampuni ya RES Inspection & Engineering Services Ltd kwa lengo...
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
VETA plans to partner with Toyota Tanzania to enhance automotive training
The Vocational Education and Training Authority (VETA) has set plans to strengthen its partnership with Toyota Tanzania Limited to improve automotive training, particularly for VETA instructors and students across the country....
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
VETA yajipanga kushirikiana na Toyota Tanzania kuimarisha mafunzo ya ufundi magari
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imepanga kuimarisha ushirikiano wake na Kampuni ya Toyota Tanzania Limited ili kuboresha mafunzo ya ufundi magari, hususan kwa wakufunzi na wanafunzi wa vyuo vya VETA n...
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
VETA Kanda ya Kaskazini yashika Nafasi ya Tatu Katika Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kaskazini 2025
Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Kaskazini, Bi. Monica Mbele, akiwa ameshika cheti cha ushindi baada ya VETA kuibuka Mshindi wa Tatu katika kundi la Taasisi za Elimu kwenye Maonesho ya Nanenane kwa Kanda ya K...
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
VETA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA, NANENANE, 2025
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeibuka mshindi wa kwanza kwenye kundi la Taasisi za Elimu na Vyuo vya Mafunzo nchini katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo (Nanenane), 2025.
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
VETA YAAGIZWA KUONGEZA UZALISHAJI KWENYE BIDHAA NA BUNIFU ZAKE
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), imeagizwa kuongeza uzalishaji zaidi katika bidhaa, vifaa na bunifu zinazozalishwa na wanafunzi, wahitimu na walimu wake, ili kuweza kutatua changamoto za Kilimo, Ufugaji na Uvuvi zinazowa...
Posted on: Wednesday, 20 August 2025
VETA YAPONGEZWA KWA KUENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA KUNDI LA WANAWAKE NA SAMIA
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imepongezwa kwa kuendelea kutoa mafunzo ya ufundi stadi kupitia Mpango wa mafunzo unaotekelezwa na Taasisi ya Wanawake na Samia.