The United Republic of Tanzania
Ministry of Education Science and Technology
Vocational Education and Training Authority
Skilled Labour Force The Future of Tanzania
Posted on: Thursday, 25 July 2024
VETA, THT waunganisha nguvu kuandaa vijana katika sekta ya sanaa nchini
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo Ya Ufundi Stadi (VETA) na Tanzania House of Talents (THT) zimetia saini hati ya makubaliano, kuanzisha ushirikiano wa kutoa mafunzo katika sekta ya sanaa ili kuwawezesha vijana kuwa na ujuzi unaotambuli...
Posted on: Tuesday, 16 July 2024
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI CHUO CHA VETA RUKWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi chuo cha VETA cha Mkoa wa Rukwa kilichopo katika kijiji cha Kashai, Kata ya Momoka, wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, leo tarehe 16 Julai, 2024, ikiwa ni se...
Posted on: Wednesday, 10 July 2024
Mkuu wa Wilaya ya Kibiti ahamasisha vijana kuchangamkia fursa za mafunzo kwenye chuo cha VETA Rufiji
Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Mhe. Kanali Joseph Kolombo, amewahamasisha vijana wa Wilaya ya Rufiji kujitokeza kwa wingi kupata mafunzo ya ufundi stadi kwenye chuo kipya cha VETA Rufiji.
Posted on: Wednesday, 10 July 2024
Waziri Ndejembi afurahishwa na mafunzo ya ufundi stadi kwa watu wenye mahitaji maalum yanayotolewa na VETA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Deogratius Ndejembi, ameeleza kufurahishwa kwake na umahiri wa watu wenye mahitaji maalum baada ya kupata mafunzo...
Posted on: Saturday, 06 July 2024
Mkurugenzi Mkuu TLSB aiomba VETA kuandaa machapisho na kuyaweka maktaba
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania, Dkt. Mboni Ruzegea, ameiomba Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), kuandika machapisho ya taarifa za shughuli zake ikiwemo za ubunifu na kuziweka katika maktaba...
Posted on: Saturday, 06 July 2024
Naibu Waziri TAMISEMI azungumzia umuhimu wa upanuzi wa fursa za mafunzo ya ufundi stadi
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu, Mhe. Zainabu Katimba, amesema upanuzi wa fursa za mafunzo ya ufundi stadi kwa watanzania utawezesha kuzalisha mafun...